Meseji ya kimahaba ya kumuuliza mpenzi wako kama anakupenda
By SW - Melkisedeck Shine |
April 24, 2023
Je unakubali au unakataa kwa mujibu wa sheria ya mahakama ya mapenzi kifungu cha mahaba unahukumiwa kuwa na mimi milele,unaweza kukata rufaa kama hujatendewa haki.sawa?