Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake
By SW - Melkisedeck Shine |
August 3, 2021
Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg kumtaarifu kuwa atachelewa ile anatakubofya SEND kibaka akaipitia simu. Jamaa kaishia kupga kelele "bonyeza send, bonyeza send wewe" abiria wote hawana mbavu