Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image
237 💬 ⬇️

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mke­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

 

236 💬 ⬇️

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Featured Image
237 💬 ⬇️

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image
238 💬 ⬇️

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Featured Image
236 💬 ⬇️

Acha usumbufu…

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Featured Image
236 💬 ⬇️

Lugha za namba ni noma

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Featured Image
Polisi::: hodi, hodi Jamaa::: kimya Polisi::: hodi, hodi Jamaa::: we nani kwani? Polisi::: sisi polisi Jamaa::: mnataka nini?
236 💬 ⬇️

Angalia uhuni wa huyu dereva

Featured Image
Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin umewagonga awa watu? Jamaa akajibu,"nilikua mwendo wa kasi sana, alafu nimejaza abiria ndani, gari likawa linakuja mbele yangu nilipokanyaga breki zikakatika, sasa ningefanya nin?"
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About