Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

 

237 💬 ⬇️

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Featured Image
237 💬 ⬇️

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mambo ya kijijini haya!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu mgonjwa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Featured Image
236 💬 ⬇️

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image
238 💬 ⬇️

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;
237 💬 ⬇️

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Featured Image

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa kula 3 tu yatabaki mangapi?

Akamjibu hivi:nikipewa na chai hakibaki kitu mwalimu.

236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About