Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image
WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown?? HUSBAND: Yule ni Theo Walcott WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?
236 💬 ⬇️

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Featured Image
236 💬 ⬇️

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Featured Image

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?

236 💬 ⬇️

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Featured Image

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu atakubariki zaidi

236 💬 ⬇️

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Featured Image
236 💬 ⬇️

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi: SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako… Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About