Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki huyu mtoto anachosema

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Gari na mke nini muhimu?

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Featured Image

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU atoke nje" wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.

236 πŸ’¬ ⬇️

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Featured Image
Mume akamwambia mke wake: "Funga macho yako tufanye maombi" Akaanza kwa Kimombo:- "… Lord I pray for Grace, I pray for Mercy, I pray 4 Joy, I pray 4 Love, I pray 4 Hope, I pray 4 GLORY, I pray 4 Faith, I pray 4…."
237 πŸ’¬ ⬇️

Mambo ya pesa haya..

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About