Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

 

236 💬 ⬇️

Wadada acheni hizo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Featured Image
236 💬 ⬇️

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Featured Image

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?

236 💬 ⬇️

Breaking news

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Featured Image
Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: Kwanini unasema hivyo?
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About