Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Featured Image
236 💬 ⬇️

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu 👧 girlfriend wake

Featured Image
236 💬 ⬇️

Watu wana vimaneno

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Featured Image
236 💬 ⬇️

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Featured Image
Dogo: Bro naomba nitumie hela. Bro: Tumia tu mpaka uchoke. Dogo: Hujanielewa,nitumie hela.
236 💬 ⬇️

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

 

236 💬 ⬇️

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
236 💬 ⬇️

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Featured Image
236 💬 ⬇️

Lugha za namba ni noma

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About