Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image
Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani peke yake. Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama {confess} "Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya dhambi kubwa sana." Padri, "Endelea…"
236 💬 ⬇️

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Chezea kufulia!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Featured Image

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku

JAMAA:"msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi" akalala
asubh wanakunywa 

236 💬 ⬇️

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image
238 💬 ⬇️

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 💬 ⬇️

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Featured Image
236 💬 ⬇️

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Featured Image
236 💬 ⬇️

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About