Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image
Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambai: MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Featured Image

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU atoke nje" wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.

236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Featured Image
Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti! then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia "imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana".
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa. Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao. Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Featured Image

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu atakubariki zaidi

236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About