Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Featured Image
Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!? Mama: Hapana mwanangu sijakuona.
236 💬 ⬇️

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Featured Image

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
NAKUA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo….

236 💬 ⬇️

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Featured Image
MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akaletewa bili kama ifuatavyo: Manka 35,000 Marieta 20,000 Kekuu 30,000 Kitime 15,000
236 💬 ⬇️

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Featured Image
236 💬 ⬇️

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Featured Image
236 💬 ⬇️

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi: SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako… Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
236 💬 ⬇️

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About