Log in to access your menu with tools for managing π tasks, π₯ clients, π° finances, π learning, π personal growth, and π spirituality, all in one place!.
Welcome to AckySHINE, your go-to platform for personal growth, productivity, and well-being, offering tools tailored to organize your life, manage finances, and deepen your journey.
Updated at: 2024-05-25 17:07:36 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
SWALI: Nini maana ya matatizo..?
JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi then akakuruhusu uondoke, lakini ukarukia pikipiki yako halafu ukapayuka..!!!!!Β Mwanajeshi, wee boya Tu
Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga
Updated at: 2024-05-25 16:59:02 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna post Lakin mkiwa mmeenda kwa mganga siwaoni kupost mitunguli na vibuyu vya mganga unakuwa je wa zee tena. ππππ
3. Huwezi kupumua kwa Pua na huku umetoa Ulimi; 4. Unajaribu kufanya namba 3 6. Umeona inawezekana, sanasana unakuwa Kama Jibwa; 7. Unatabasamu kwa kuwa umejiona Mjinga! 8. Umeruka namba 5; 9. Unahakikisha Kama kweli 5 haipo. 10. Unacheka kwa kuwa nimekubamba!
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala
Updated at: 2024-05-25 16:54:48 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mzee mmoja alipanda Gari Stend; Wakati wa kugombania Siti, Akaibiwa Nauli.
Akasimama katikati ya Gari-Akasema; "Jamani Naomba Aliyeniibia Pesa yangu Arudishe Haraka, Tena Fasta kabla Sijafanya Tukio kama Nililofanya 1977" Abiria kuskia hivyo wakaogopa. Ikabidi Mwizi Ajitokeze, Akarudisha Pesa na Kuomba Msamaha! Mtu Mmoja akauliza, Mzee, Kwani 1977 Ulifanya nn? Si nilienda kwa Miguu mpaka Nyumbani! Uscheke Peke Yako, wa2mie na wengine ili nao wacheke!
Updated at: 2024-05-25 17:59:16 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu ya kwenye daladala.
1.Yatima hadeki 2.Utamu wa chips mimba 3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni 4. Usiyempenda kaja 5. Kobe hapimwi joto 6. Acha kazi uone kaz kupata kaz 7. Ukichezea koki utalowa 8. Heshima pesa kipara kovu tu! 9. Mtumbwi hauna saitmira. 9. Silaha pesa bastola mzigo 10. Hata uoge mjini huendi 11. Chezea mshahara usichezee kazi. 12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa 13. Ikisimama Panda 14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe 15. Njia ya chooni haioti nyasi 16. Likizo ya maskini ugonjwa 17. When i grow up i want to be a scania 18. Hata bibi alikuwa binti 19. Kisigino hakikai mbele 20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki 21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi 22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee 23. Paka haishi kwa msela 24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa 25. NIPO NIPO KWANZA 26. Mchana nzi ucku mbu 27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake 28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako 29. Supermarket hawauzi mkaa 30. We nisubiri mi nakungoja. 31. Zetu dagaa kuku tamaa 32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki H ππππππππππ
Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake
Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!! Kawaida kila msanii lazima ajitambulishe, mfano:- ''YEAH NI TEMBA hapa au
Updated at: 2024-05-25 18:07:14 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!! Kawaida kila msanii lazima ajitambulishe, mfano:- ''YEAH NI TEMBA hapa au YEAH NI CHEGE hapaβ¦!!!
Yeye akasema: "YEAH NIKINYA HAPAβ¦!!!" Watu wakapiga kelele ''UTAZOAAA'' mwenyewe bwenge wee
JE, WEWE UNGEJITAMBULISHAJE NAITAJI JIBU LAKO TUONEβ₯