Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia uhuni wa huyu dereva

Featured Image
Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin umewagonga awa watu? Jamaa akajibu,"nilikua mwendo wa kasi sana, alafu nimejaza abiria ndani, gari likawa linakuja mbele yangu nilipokanyaga breki zikakatika, sasa ningefanya nin?"
236 πŸ’¬ ⬇️

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Featured Image
Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto. MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu?
237 πŸ’¬ ⬇️

Madenge hakosi visa. Soma hii

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Huu mchezo hautaki makeup

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Featured Image

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku

JAMAA:"msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi" akalala
asubh wanakunywaΒ 

236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Featured Image
Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, kijani. Wale wanawake wakatatizika baada ya mda wakajua ni chupi walizovaa. Wakasema basi kesho tubadilisheni. Siku ya pili wakapita tena kasuku akasema nyeusi, manjano, zambarau.
236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About