Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Misemo ya kina dada

Featured Image
237 💬 ⬇️

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia 😂😂😂

Featured Image
236 💬 ⬇️

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

 

236 💬 ⬇️

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Featured Image
237 💬 ⬇️

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Featured Image
Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto. MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu?
237 💬 ⬇️

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Featured Image
238 💬 ⬇️

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!.. Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About