Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Simu ilivyozua utata

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Featured Image

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa kula 3 tu yatabaki mangapi?

Akamjibu hivi:nikipewa na chai hakibaki kitu mwalimu.

236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi: SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwakoโ€ฆ Boss akabaki anashangaaโ€ฆ Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Featured Image
239 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Featured Image
Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani,
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Featured Image
Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto. MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu?
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About