Log in to access your menu with tools for managing 📝 tasks, 👥 clients, 💰 finances, 📖 learning, 🔍 personal growth, and 🌟 spirituality, all in one place!.
Welcome to AckySHINE, your go-to platform for personal growth, productivity, and well-being, offering tools tailored to organize your life, manage finances, and deepen your journey.
Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa ulimpenda tangu siku ya kwanza na utazidi kumpenda
Updated at: 2024-05-25 15:22:17 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
nilivyokutana nawe siku ya kwanza nilikupenda kwa dhati,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni mwako,siwezi kuchezea nafasi hiyo laaziz,nitakushika daima.
Updated at: 2024-05-25 15:27:04 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
"CHAI" bila sukari hainyweki. "ASALI" bila nyuki haitengenezeki. "PETE" bila kidole haivaliki. Na "MIMI" bila ya kukusalimia wala siridhiki! pokea maneno yafuatayo "I LOVE YOU" pokea my lovely kiss "MWAAAAAAA" my best wishes mtumie umpendae kama na mm nimo nirudishie.
Updated at: 2024-05-25 15:26:24 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Happy birthday mpenzi, nakuombea kwa mwenyezi akupe maisha marefu na kukuepusha na maradhi, pongezi kwa wako wazazi kwa kukuzaa mpenzi, nakupenda la azizi.
SMS ya kimahaba ya kumtumia mpenzi wako wa kike kumsifia na kumwambia unavyompenda
Updated at: 2024-05-25 15:26:23 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
mahakama ya upendo iliyopo mtaa wa busu imenihukumu kufungwa kwenye gereza la moyo la mcchana huyo milele kwa kuutesa mtima wa moyo wa mcchana mmoja ,asiye na mashauz,mwenye wing upendo ,maneno matamu ,mahaba ya dhat na mapenz mazito zito,
Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako,
Updated at: 2024-05-25 15:37:19 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA
Updated at: 2024-05-25 15:22:39 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu muhimu, unaeng'aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. "NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANGU"