Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako kumwambia ajihadhari na maadui wa penzi lenu
Updated at: 2024-05-25 15:26:25 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ? Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo, ndugu zako wanaotugombanisha na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi. Mapenzi yetu yadumu daima.
Read more
Close
SMS ya kutuma ujumbe wa kipepeo kwa mpenzi wako
Ruka, nenda upesi usichelewe.Tua kwa heshima mbele ya huyu nimpendaye. Sema naye kwa upole, chonde usimsumbue. Mwambie nipo salama ila namuwaza sana. Umwambie nampenda kamwe sitamsahau.
Updated at: 2024-05-25 15:37:13 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
We Kipepeo, ,.-.-.-._.' //'_.-.-.-., ''-.,-.:-)i(:'.-,.-'' '-..-'()'-..-' Ruka, nenda upesi usichelewe.Tua kwa heshima mbele ya huyu nimpendaye. Sema naye kwa upole, chonde usimsumbue. Mwambie nipo salama ila namuwaza sana. Umwambie nampenda kamwe sitamsahau. Kisha umuage kwa kumwambia nakutak..
Read more
Close
Meseji nzuri ya kimahaba ya kumtakia usiku mwema mpenzi wako
Fungua macho yako uone kopa za mahaba ninazokumwagia, fungua mikono yako na upokee mapenzi yangu, fungua simu yako uone ni jinsi gani ninavyokukumbuka japo
Updated at: 2024-05-25 15:37:21 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Fungua macho yako uone kopa za mahaba ninazokumwagia, fungua mikono yako na upokee mapenzi yangu, fungua simu yako uone ni jinsi gani ninavyokukumbuka japo kwa kukutumia sms mpenzi wangu, Nakutakia usiku mwema
Unaweza kutuma Ujumbe huu kwa Umpendaye hapa
Read more
Close
Ujumbe mzuri wa kuamsha mapenzi kwa mtu
Updated at: 2024-05-25 15:27:02 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kulikuwa na vipepeo wawili waliokuwa wanapendana sana, siku 1 waliamua kucheza mchezo wa mahaba. Waliweka ua na walipanga kesho ambaye atakuja mapema na kukaa juu ya UA, atakuwa anampenda mwenzake zaidi. Asubuhi kipepeo dume alienda mapema sana na kukaa juu ya UA. Masikini kumbe jike alifika tangu jana kumwonesha mpenzi wake ni jinsi gani anavyompenda…!! Jee…!! wewe, utamuonesha nini umpendaye ili aone ni kiac gani …………………….
Read more
Close
SMS nzuri ya kumwambia mpenzi wako kuwa anayo moyo wako
Updated at: 2024-05-25 15:22:59 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Naweza kukuazima mabega yangu upande, masikio yangu usikilizie mikono yangu ushikie, miguu yangu, utembelee, lakini si moyo wangu kwani tayari unao wewe.
Read more
Close
SMS ya kimahaba ya kumwambia mpenzi wako kuwa penzi lako ni la daima na milele, utampenda milele
Updated at: 2024-05-25 15:23:36 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Penzi langu kwako ni la milele, nitakuhifadhi moyoni mwangu siku zote za maisha yangu, uwe wangu nami niwe wako daima, nakupenda dear…
Read more
Close
Ujumbe mzuri kwa mpenzi wako kumuonyesha upendo
Updated at: 2024-05-25 15:24:14 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
yapitayo mdomoni yametokea moyoni ,uyaonayo hadharani nimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wa yakini.
Read more
Close
Meseji nzuri ya kumjalia hali umpendaye
USikimbie nyuki ukakosa asali, utamu wa samaki ni kula na wali, usizidishe siki akawa mkali. Ni mimi niliye na dhiki nakujulia tu hali.
Updated at: 2024-05-25 15:37:10 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Usikimbie nyuki ukakosa asali, utamu wa samaki ni kula na wali, usizidishe siki akawa mkali. Ni mimi niliye na dhiki nakujulia tu hali.
Unaweza kutuma Ujumbe huu kwa Umpendaye hapa
Read more
Close
SMS ya kumwambia mpenzi wako kuwa bado unampenda na hujabadilika
"Japokuwa" "Kuku" "Haogi" "Yai" "Lake" "Litabaki" "Kuwa" "Jeupe" "Tu" "Namaanisha" "Kuwa" "Hata" "Kama" "Ukiona" "Nipo" ""KIMYA"" Muda" "Mrefu" ""UPENDO"" "Wangu" "Kwako" """Bado"""
Updated at: 2024-05-25 15:38:02 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
"Japokuwa" "Kuku" "Haogi" "Yai" "Lake" "Litabaki" "Kuwa" "Jeupe" "Tu" "Namaanisha" "Kuwa" "Hata" "Kama" "Ukiona" "Nipo" ""KIMYA"" Muda" "Mrefu" ""UPENDO"" "Wangu" "Kwako" """Bado""" "Uko" Pale pale!!!!! Usijali "Tupo Pamoja" "Kwa" "Asilimia 100%".
Unaweza kutuma Ujumbe huu kwa Umpendaye hapa
Read more
Close
Meseji ya kumbembeleza mpenzi wako aje kwako
Updated at: 2024-05-25 15:22:01 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha hamu,nitakupa mwili wangu ukeshe nao,nitakulisha unachokitaka,sitakubania naogopa wengine wataniibia. . .njo leo uniambie unataka nini?
Read more
Close