Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Kilichowapata Watu 8 waliowahi kumdhihaki Mungu

Featured Image

1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)

Wakati alipokuwa akihojiwa na Mwandishi wa habari wa gazeti la #American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya #Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966.
Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.

50 💬 ⬇️

Kanuni ya Mungu kuhusu mema

Featured Image
50 💬 ⬇️

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Bikira Maria kuwa Mama wa Mungu?

Featured Image
The Catholic Church believes in the divine motherhood of Mary. She is honored and revered as the Mother of God, who played a unique role in the story of salvation.
50 💬 ⬇️

Siri za Dominika: Masomo ya Misa ya Jumapili Zafichua Ujumbe Muhimu

Featured Image
Siri za Dominika: Masomo ya Misa ya Jumapili Zafichua Ujumbe Muhimu!
50 💬 ⬇️

Kuimarisha Imani Yako na Masomo ya Misa ya Jumapili ya Dominika

Featured Image
Kuimarisha Imani Yako na Masomo ya Misa ya Jumapili ya Dominika: Kupata Ushindi Kupitia Neno la Mungu!
50 💬 ⬇️

MALAIKA WA MUNGU

Featured Image
50 💬 ⬇️

Namna Biblia inavyomueleza Bikira Maria

Featured Image
50 💬 ⬇️

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa kuishi imani katika matendo mema?

Featured Image
Je, umewahi kujiuliza kama Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa kuishi imani katika matendo mema? Ndio, ni kweli kabisa! Kanisa letu linaamini kwamba imani ni kitu kimoja, lakini matendo mema ni muhimu sana ili kuonesha imani hiyo kwa ulimwengu. Kwa hiyo, jifunze zaidi juu ya umuhimu wa kuishi imani katika matendo mema na jinsi Kanisa linavyofundisha hilo kwa furaha na hamasa!
50 💬 ⬇️

Usipite bila kusoma kisa hiki cha kusisimua

Featured Image

Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa iliyoambatana na radi ikaanza kunyesha. Dereva hakuogopa, wala abiria, wakaendelea na safari. Mara wakati wanaenda, radi ikaanza kufuatilia gari. Kila wakienda, radi inapiga karibu na basi kana kwamba inalifuata basi. Likisimama, radi inapiga pembezoni mwa basi.

50 💬 ⬇️

Heshima za Liturujia kwa Bikira Maria

Featured Image
50 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About