Log in to access your menu with tools for managing ๐ tasks, ๐ฅ clients, ๐ฐ finances, ๐ learning, ๐ personal growth, and ๐ spirituality, all in one place!.
eBooks: Mbinu za Kilimo na Ufugaji Kukuongezea Mapato - Topic 2 - AckySHINE
Aina kuu ya mizinga bora ya nyuki kwa ajili ya kupata asali nyingi
๐ โ
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:08 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Hii ni aina ya mizinga inayotumika sana na wengi. Gharama yake ni ndogo kiasi kulinganisha na mingine. Ni aina nzuri sana kwa mtu anaeanza ufugaji wa nyuki kwa kuwa ni wa gharama nafuu. Mfugaji wa nyuki anaweza kutengeneza mzinga Yya aina hii mwenyewe kama ana utaalamu wa useremala.
Jinsi ya kutumia mashonanguo kama dawa ya kuzuia wadudu kwenye mimea
๐ โ
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:10 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mashonanguo kwa kiingereza ni Blackjack au kwa kisayansi yanajulikana kama (Bidens pilosa) Mashona nguo yanazuia wadudukama vile Vidukari, Siafu, bungo, katapila, chenene (crickets), nyenyere, siafu na inzi weupe.
Jinsi ya kuandaa mbangimwitu kama Dawa ya magonjwa na ya kuulia wadudu shambani
๐ โ
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:05 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mbangi mwitu au kwa kisayansi ni African marigold / (Tagetes erecta) Unazuia Bakteria, fungusi na wadudu kama vile Siafu, bungo pamoja na aina nyingine za wadudu.
Updated at: 2024-05-23 15:46:09 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Inafahamika kuku kutaga mayai mengi hutokana na aina ya mbegu ya kuku, ila jua kwamba hata aina ya mbegu ya kuku yenye sifa ya kutaga mayai mengi kama haitapewa matunzo mazuri ย basi sifa yake ya utagaji itapotea.