Log in to access your menu with tools for managing π tasks, π₯ clients, π° finances, π learning, π personal growth, and π spirituality, all in one place!.
MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:05:15 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!!!
2. Ka wafikiri Una haraka sana Shuka ukimbie.
3. Nauli kulipa lazima ,Chenji ukikumbuka.
Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena
π β
Available in PDF
Updated at: 2023-04-29 22:52:55 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na nyama nyingi tu, wakati anakula akagundua kuwa shemeji yake, mke wa rafiki yake hali nyama;
JAMAA: Aise hili ni bonge ya lanchi hii, lakini Levi mbona
Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:01:48 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.
Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.
Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.
Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:02:40 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!
MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa.
MKE; Ilikuaje wewe ukapona?
Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:04:02 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mtoto ni wa baba au wa mama?
Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto.
MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu?