Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki7, ATM card na karatasi yenye PIN ya ATM card na kijimfuko cha dhahabu" Mtangazaji akasema, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama anakusikiliza? Jamaa akajibu; hapana, ninaomba kumuombea dedication wimbo wa R.Kelly usemao "U SAVED ME" umfikie popote alipo!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mwanakhamis (Guest) on June 12, 2024

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Lydia Mutheu (Guest) on June 4, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Kazija (Guest) on June 2, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mwakisu (Guest) on May 18, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Agnes Njeri (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Martin Otieno (Guest) on May 4, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on March 30, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on March 25, 2024

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nora Lowassa (Guest) on December 17, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

David Nyerere (Guest) on November 26, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on November 16, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on September 11, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on August 27, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on August 20, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Khatib (Guest) on July 21, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sharifa (Guest) on July 6, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on June 29, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Halima (Guest) on June 21, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Mwafirika (Guest) on June 20, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Alex Nakitare (Guest) on June 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on June 14, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Isaac Kiptoo (Guest) on May 24, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on April 13, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Mahiga (Guest) on March 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 26, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on February 18, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Vincent Mwangangi (Guest) on February 14, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Mussa (Guest) on February 9, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on February 6, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on January 15, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on January 7, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on December 31, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on November 28, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Makame (Guest) on October 16, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ruth Wanjiku (Guest) on October 2, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rose Amukowa (Guest) on September 25, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 20, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Peter Mwambui (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

James Malima (Guest) on September 1, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on September 1, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on August 21, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 18, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 17, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Masika (Guest) on August 5, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Mussa (Guest) on July 30, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Sumaye (Guest) on July 20, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on July 12, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Zainab (Guest) on July 12, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 2, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on May 21, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

David Chacha (Guest) on April 12, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on February 24, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Grace Mligo (Guest) on February 6, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Wairimu (Guest) on January 14, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Francis Njeru (Guest) on December 29, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Kimani (Guest) on December 13, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Chum (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Shabani (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Henry Sokoine (Guest) on December 8, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About