Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao kufika tyu ghafla unakutana na dada yake getini ambaye alikuwa ni mpenzi wako wa zamani, ile kuingia ndani unamuona kaka yake ambaye mlipigana baada ya kukufumania na mke wake, hujakaa vizuri unamuona mama yake ambaye ndiye jimama shangingi lako anayekuweka mjini akupaye jeuri ya kutamba ambapo hata gari unalolitumia alikupa yeye na hataki upajue anapoishi, wakati unataka kuondoka unakutana uso kwa uso na baba yake ambaye alikuwaga wakili wako kwenye kesi ya ubakaji`

πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Amukowa (Guest) on July 15, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hashim (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Jane Muthui (Guest) on June 1, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Elijah Mutua (Guest) on April 10, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Bakari (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Njeri (Guest) on February 27, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on February 19, 2024

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Daniel Obura (Guest) on February 18, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mwanakhamis (Guest) on January 30, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Hamida (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Catherine Mkumbo (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on December 18, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Chacha (Guest) on November 20, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sharon Kibiru (Guest) on November 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Jamal (Guest) on September 12, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Anthony Kariuki (Guest) on September 12, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Mjaka (Guest) on August 13, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joseph Kitine (Guest) on August 6, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on June 14, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 9, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ibrahim (Guest) on April 27, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Grace Wairimu (Guest) on April 17, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on April 17, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on April 8, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Richard Mulwa (Guest) on April 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 24, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Diana Mumbua (Guest) on March 24, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

George Tenga (Guest) on March 8, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on March 3, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Omari (Guest) on March 3, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Moses Mwita (Guest) on February 20, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Omar (Guest) on February 14, 2023

Asante Ackyshine

Miriam Mchome (Guest) on February 1, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nassor (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on January 20, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Chum (Guest) on January 5, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Samuel Omondi (Guest) on January 3, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Daudi (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Lowassa (Guest) on November 20, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Issack (Guest) on October 27, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Muslima (Guest) on October 26, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Victor Kimario (Guest) on October 10, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on October 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on September 22, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on July 5, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on June 4, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on May 26, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on May 21, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Grace Mushi (Guest) on May 15, 2022

😊🀣πŸ”₯

Linda Karimi (Guest) on April 2, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Yusuf (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Thomas Mtaki (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
πŸ“– Explore More Articles