Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Esther Cheruiyot (Guest) on July 18, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 13, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

John Mwangi (Guest) on July 13, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on July 10, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nashon (Guest) on July 5, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joyce Aoko (Guest) on June 28, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Issack (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Agnes Njeri (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Sumaya (Guest) on April 7, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mhina (Guest) on March 16, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Brian Karanja (Guest) on March 14, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on February 19, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Dorothy Nkya (Guest) on February 16, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Selemani (Guest) on February 11, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Ndoto (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜† Kali sana!

Elizabeth Malima (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Faiza (Guest) on January 7, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Daniel Obura (Guest) on January 4, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on January 1, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Benjamin Kibicho (Guest) on December 17, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on November 30, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on November 25, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

James Malima (Guest) on November 7, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

David Kawawa (Guest) on October 14, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on September 9, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on September 1, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on August 31, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Jane Muthui (Guest) on August 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on July 14, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Yusuf (Guest) on May 24, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rukia (Guest) on May 20, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Andrew Mchome (Guest) on May 19, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on May 17, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Mahiga (Guest) on May 13, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Komba (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Henry Mollel (Guest) on April 16, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Anna Mahiga (Guest) on April 2, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on March 29, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Shani (Guest) on March 27, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Sokoine (Guest) on March 27, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on March 26, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edward Chepkoech (Guest) on March 7, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mrope (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on January 18, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 10, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on December 25, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on December 21, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on December 15, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on October 24, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Kendi (Guest) on October 21, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Khamis (Guest) on October 12, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on September 7, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on July 9, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zawadi (Guest) on July 9, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Simon Kiprono (Guest) on May 12, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Agnes Njeri (Guest) on April 26, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on April 8, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Kitine (Guest) on March 27, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on March 24, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About