Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Uwe na subira Baada ya kuomba

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Uwe na subira Baada ya kuomba kwa Mungu. Sio kila unachoomba kwa Mungu utakipata kwa wakati huo huo au kwa wakati unaofikiri. Mungu ni Mwaminifu Sana Kwenye kujibu maombi lakini vile vile ni mwenye Hekima Kwenye kukujibu, anajua wakati gani ni sahihi kukujibu maombi yako. Anaweza kukujibu saa hiyo hiyo, kesho, keshokutwa au hata mwakani kwa kuangalia wakati ufaao na kwa manufaa yako. Kwa hiyo unapoona hujajibiwa usife moyo, bali uwe na matumaini. Mungu anajua akujibu lini kwa kuwa anajua ni lini wakati ufaao na ni lini kitu kipi kina kufaa.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Janet Mbithe Guest May 14, 2024
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Feb 10, 2024
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Andrew Odhiambo Guest Dec 1, 2023
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Oct 14, 2023
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ John Malisa Guest Apr 16, 2023
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Thomas Mtaki Guest Apr 2, 2023
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Mar 24, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest Mar 18, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ David Musyoka Guest Oct 24, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ George Wanjala Guest Jun 6, 2022
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest Apr 16, 2022
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Lydia Mzindakaya Guest Feb 16, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Jan 26, 2022
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Patrick Kidata Guest Jan 9, 2022
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Dec 2, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Monica Nyalandu Guest Nov 2, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest Oct 8, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest May 11, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Janet Sumari Guest Jan 19, 2021
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ George Mallya Guest Jan 11, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ George Tenga Guest Dec 15, 2020
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Daniel Obura Guest Sep 18, 2020
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest Jul 25, 2020
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Ann Wambui Guest Apr 27, 2020
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest Feb 12, 2020
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Lucy Kimotho Guest Dec 24, 2019
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Jun 25, 2019
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Apr 19, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Frank Macha Guest Apr 7, 2019
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest Feb 7, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Francis Njeru Guest Jan 13, 2019
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest Nov 20, 2018
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Nov 13, 2018
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Nov 5, 2018
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest Aug 29, 2018
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ John Malisa Guest Jul 6, 2018
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ John Lissu Guest Apr 12, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Apr 7, 2018
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Anthony Kariuki Guest Mar 12, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Nov 5, 2017
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Jan 5, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Jul 6, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Jul 4, 2016
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest May 23, 2016
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ David Nyerere Guest May 2, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Andrew Odhiambo Guest Mar 27, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Sep 2, 2015
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Jul 25, 2015
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Betty Akinyi Guest Jun 25, 2015
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Isaac Kiptoo Guest Apr 13, 2015
Endelea kuwa na imani!

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About