Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maisha ya kiroho yanahitaji Mipango (Strategy)

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kama yalivyo maisha ya kimwili, maisha ya kiroho pia yanahitaji mipango. Kila siku panga utafanya nini kiroho, mfano unaweza kupanga sala, kusaidia masikini, kuwa mpole au mwema. Vivyo hivyo kila wiki, kila mwezi na kila mwaka mpya panga cha kufanya kiroho naye Mungu atakubariki na kukupangia zaidi. Huwezi kufanikiwa kiroho kama hujui unafanya nini kiroho.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Malima (Guest) on April 21, 2024

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Elijah Mutua (Guest) on March 18, 2024

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Grace Minja (Guest) on March 11, 2024

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Patrick Akech (Guest) on January 19, 2024

Neema ya Mungu inatosha kwako

Diana Mumbua (Guest) on January 19, 2024

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Betty Akinyi (Guest) on January 7, 2024

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Catherine Mkumbo (Guest) on October 22, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Francis Mtangi (Guest) on July 26, 2023

Nakuombea πŸ™

Stephen Amollo (Guest) on May 26, 2023

Katika imani, yote yanawezekana

Joseph Kitine (Guest) on May 8, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Mary Kidata (Guest) on April 2, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Victor Kimario (Guest) on February 28, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

Alice Wanjiru (Guest) on December 30, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Benjamin Kibicho (Guest) on December 29, 2022

Sifa kwa Bwana!

Nancy Komba (Guest) on November 29, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Nancy Komba (Guest) on November 28, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Mercy Atieno (Guest) on November 2, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Joy Wacera (Guest) on October 9, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Nancy Kawawa (Guest) on August 3, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Stephen Kangethe (Guest) on July 26, 2022

Neema na amani iwe nawe.

Rose Waithera (Guest) on July 17, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Andrew Mahiga (Guest) on June 28, 2022

Rehema zake hudumu milele

Kenneth Murithi (Guest) on April 26, 2022

Rehema hushinda hukumu

Peter Mugendi (Guest) on June 20, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

George Tenga (Guest) on May 1, 2021

Mwamini katika mpango wake.

Monica Lissu (Guest) on January 18, 2021

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Catherine Mkumbo (Guest) on September 5, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Charles Mrope (Guest) on September 1, 2020

Dumu katika Bwana.

Charles Wafula (Guest) on July 24, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Joyce Aoko (Guest) on September 5, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Irene Akoth (Guest) on June 17, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Josephine Nduta (Guest) on March 25, 2019

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Faith Kariuki (Guest) on February 26, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Alex Nakitare (Guest) on February 2, 2019

Mwamini Bwana; anajua njia

Faith Kariuki (Guest) on December 24, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Stephen Kangethe (Guest) on September 11, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 5, 2018

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Tabitha Okumu (Guest) on January 23, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Henry Sokoine (Guest) on December 2, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

John Mwangi (Guest) on October 15, 2017

Endelea kuwa na imani!

Jane Malecela (Guest) on August 28, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Benjamin Kibicho (Guest) on August 4, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Grace Minja (Guest) on July 17, 2017

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 2, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Ruth Mtangi (Guest) on February 17, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Minja (Guest) on April 2, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Victor Mwalimu (Guest) on February 23, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Grace Mushi (Guest) on September 29, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Monica Nyalandu (Guest) on August 3, 2015

Mungu akubariki!

Lydia Mutheu (Guest) on April 15, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Related Posts

Sala ni Hazina

Sala ni Hazina

Sala ni Hazina. Kusali ni muhimu sana. Sala unayosali leo inaweza kukusaidia hata miaka kumi ijay... Read More

Maana ya kubarikiwa

Maana ya kubarikiwa

Kubarikiwa ni Kutokutindikiwa na kuwa na matumaini ya siku zijazo. Kubarikiwa ni kuwa na amani, f... Read More

Toba, msamaha na Baraka

Toba, msamaha na Baraka

Inashangaza kwa sasa watu wengi hawapendi kuambiwa kuhusu kutubu dhambi zao bali wanataka waambiw... Read More

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. A... Read More

Kuomba na Kushukuru

Kuomba na Kushukuru

Unapo mwomba Mungu Usisahau Kushukuru. Kushukuru ni kuomba mara ya pili. Utazidishiwa kile ulicho... Read More

Sali daima

Sali daima

Kama mtu anasali kila siku katika maisha yake hakuna kitu kitakachokuwa kigumu. Sala ni njia ya k... Read More

Kutubu ni njia ya kumrudia Mungu

Kutubu ni njia ya kumrudia Mungu

Kutubu ndio njia pekee ya kumrudia Mungu. Toba ya kweli ndiyo iletayo maondoleo ya dhambi. Ukiond... Read More

Upendo na chuki havitangamani

Upendo na chuki havitangamani

Upendo wa kweli hauambatani na chuki. Huwezi kusema una Upendo wakati kuna watu wengine unawapend... Read More

Upendo wa Mungu hauna mwisho

Upendo wa Mungu hauna mwisho

Upendo wa Mungu hauna mwisho. Mtu anaweza akaacha kukupenda na kukusahau kabisa lakini kamwe Mung... Read More

Uwe na maono

Uwe na maono

Uwe na maono au ndoto ya mambo unayotaka kufanya maishani naye Mungu atakubariki na kujidhihirish... Read More

Tumaini kwa Mungu

Tumaini kwa Mungu

Mtumainie Mungu kwa maana Mungu hawatupi wale wamtumainiao na kumgoja. Mkono wake upo tayari kwa ... Read More

Uwe na subira Baada ya kuomba

Uwe na subira Baada ya kuomba

Uwe na subira Baada ya kuomba kwa Mungu. Sio kila unachoomba kwa Mungu utakipata kwa wakati huo h... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About