Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Maana ya kubarikiwa

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kubarikiwa ni Kutokutindikiwa na kuwa na matumaini ya siku zijazo. Kubarikiwa ni kuwa na amani, furaha, na matumaini katika maisha ya sasa na yajayo. Kubarikiwa sio kuwa na mali nyingi. Yesu hajawahi kumwambia mtu kuwa utakua tajiri sana kwa kuwa umebarikiwa wala hajawahi kumuahidi kumpa mtu utajiri. Unaweza ukawa na mali nyingi lakini zikakufanya ukakosa Amani, furaha na matumaini ya siku zijazo. Ndiyo maana Mungu anatupa kulingana na vile tunavyohitaji ili visiwe mtego kwetu.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Joyce Nkya Guest Mar 26, 2024
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest Jan 26, 2024
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Oct 6, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Patrick Kidata Guest Aug 15, 2023
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest May 9, 2023
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest Dec 10, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Thomas Mtaki Guest Jun 12, 2022
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Peter Tibaijuka Guest Apr 1, 2022
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ George Tenga Guest Mar 25, 2022
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Dec 29, 2021
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ David Kawawa Guest Aug 24, 2021
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ John Mwangi Guest Aug 5, 2021
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Jul 27, 2021
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Apr 30, 2021
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Dec 20, 2020
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ James Mduma Guest Dec 18, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Dec 16, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Simon Kiprono Guest Nov 11, 2020
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Edward Chepkoech Guest Nov 11, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest Sep 28, 2020
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Jun 18, 2020
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Mariam Kawawa Guest May 22, 2020
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Francis Mrope Guest Nov 21, 2019
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Sarah Achieng Guest Nov 1, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Alex Nyamweya Guest Oct 20, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Nora Kidata Guest Jun 9, 2019
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Jun 9, 2019
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Mary Sokoine Guest Jun 3, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ George Wanjala Guest May 13, 2019
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Robert Ndunguru Guest Apr 27, 2019
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Jan 4, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Ann Wambui Guest Nov 17, 2018
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Jun 28, 2018
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ David Chacha Guest Jun 24, 2018
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Mary Sokoine Guest Feb 18, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ George Mallya Guest Jan 14, 2018
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Joseph Mallya Guest Jan 20, 2017
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Vincent Mwangangi Guest Dec 18, 2016
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest Oct 26, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Sep 7, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Patrick Mutua Guest Apr 17, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Edwin Ndambuki Guest Feb 25, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Anthony Kariuki Guest Feb 20, 2016
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Jan 6, 2016
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Sep 10, 2015
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Aug 28, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Edwin Ndambuki Guest Aug 11, 2015
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Agnes Lowassa Guest Aug 4, 2015
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Paul Kamau Guest May 29, 2015
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Anthony Kariuki Guest May 8, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About