Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Siku ya pili
MUME: Vipi mko salama huko?
MKE: Tupo kama ulivyotuacha
MUME: kwani uko wapi?
MKE: Niko nyumbani napika
MUME: Washa brender kama kweli uko nyumbani
Mke akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Poa ntarudi baada ya masaa mawili

Siku sita baadaeΒ mume akaamua kurudi bila kumtaarifu mkewe alipofika home kamkuta mdada wa kazi yuko peke yake.
MUME: We mama yako yuko wapi?
MDADA: Sijui ameondoka na blender toka asubuhi

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Michael Mboya (Guest) on July 13, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on July 8, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on July 3, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joseph Kawawa (Guest) on May 28, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on May 17, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Frank Sokoine (Guest) on April 28, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Stephen Kangethe (Guest) on April 21, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on April 16, 2024

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on March 5, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Edith Cherotich (Guest) on February 8, 2024

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

James Kawawa (Guest) on February 8, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on January 5, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on January 4, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Elizabeth Malima (Guest) on December 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on December 9, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on December 3, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 30, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on November 21, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Irene Makena (Guest) on November 19, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Bahati (Guest) on October 25, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joyce Aoko (Guest) on October 3, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mchawi (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Sumari (Guest) on September 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on July 27, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mwinyi (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rose Kiwanga (Guest) on June 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 9, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Esther Cheruiyot (Guest) on May 20, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Shabani (Guest) on April 10, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on March 27, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Sekela (Guest) on March 5, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Thomas Mtaki (Guest) on February 27, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Diana Mallya (Guest) on February 18, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on February 5, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 21, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Carol Nyakio (Guest) on January 13, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Sokoine (Guest) on January 5, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on December 19, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on December 15, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Hamida (Guest) on December 5, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Leila (Guest) on November 27, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mariam Kawawa (Guest) on November 15, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sofia (Guest) on November 13, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Ann Wambui (Guest) on October 21, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Victor Kimario (Guest) on September 5, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on August 24, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Wande (Guest) on August 5, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Issack (Guest) on July 7, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Stephen Mushi (Guest) on June 27, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on June 10, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Sarah Achieng (Guest) on June 2, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Wanjiru (Guest) on April 30, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Habiba (Guest) on April 12, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Wilson Ombati (Guest) on April 1, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Ann Awino (Guest) on March 14, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Esther Cheruiyot (Guest) on January 21, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ruth Wanjiku (Guest) on January 14, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on December 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on December 15, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Margaret Mahiga (Guest) on November 16, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About