Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.

MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Christopher Oloo (Guest) on July 19, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on July 12, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on June 21, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on June 9, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on May 31, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Mushi (Guest) on May 5, 2024

Asante Ackyshine

Bernard Oduor (Guest) on March 16, 2024

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on March 15, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lydia Mahiga (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on March 5, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on March 3, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Fadhila (Guest) on January 23, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Peter Tibaijuka (Guest) on January 16, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Omar (Guest) on January 11, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Paul Ndomba (Guest) on December 30, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Otieno (Guest) on December 29, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on December 11, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on November 29, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on November 20, 2023

😊🀣πŸ”₯

James Mduma (Guest) on November 18, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Anna Kibwana (Guest) on October 29, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwagonda (Guest) on September 25, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mgeni (Guest) on August 16, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mzee (Guest) on July 26, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on July 20, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Neema (Guest) on July 2, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Kamande (Guest) on June 26, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Samson Tibaijuka (Guest) on June 9, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Wairimu (Guest) on May 21, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on May 19, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on April 26, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Halimah (Guest) on April 9, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mhina (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Francis Mrope (Guest) on April 3, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on March 29, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Abubakar (Guest) on March 8, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Emily Chepngeno (Guest) on January 21, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on January 16, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on January 13, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Njuguna (Guest) on January 10, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Josephine Nekesa (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on December 14, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Elijah Mutua (Guest) on November 3, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on October 17, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on September 9, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mwalimu (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Janet Sumari (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Wanjala (Guest) on July 2, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Sarah Achieng (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Nasra (Guest) on June 29, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rabia (Guest) on June 28, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Chris Okello (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Fikiri (Guest) on June 7, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Maida (Guest) on May 29, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Miriam Mchome (Guest) on April 27, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Patrick Akech (Guest) on March 17, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 15, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rose Amukowa (Guest) on March 9, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
πŸ“– Explore More Articles