Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa. Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao. Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana. Wakaingia msituni kila mtu njia yake. … Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa. Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa. Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?” Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Njeri (Guest) on June 22, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on June 12, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on June 9, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Peter Mugendi (Guest) on May 13, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Latifa (Guest) on May 1, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Leila (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Janet Sumaye (Guest) on April 18, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on April 17, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on April 2, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Monica Lissu (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on March 3, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Anna Mchome (Guest) on February 17, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on February 9, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Amani (Guest) on February 6, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 27, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on January 7, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jamila (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Agnes Lowassa (Guest) on January 5, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mwajabu (Guest) on December 31, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Paul Ndomba (Guest) on December 16, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on September 10, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on September 8, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Janet Mwikali (Guest) on September 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mwalimu (Guest) on August 8, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Latifa (Guest) on July 14, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Elizabeth Malima (Guest) on June 23, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Catherine Naliaka (Guest) on May 31, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on May 8, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on May 6, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on April 15, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jamal (Guest) on March 31, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Patrick Mutua (Guest) on March 28, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on March 20, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on March 1, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on February 28, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Rose Lowassa (Guest) on February 12, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

James Kimani (Guest) on February 11, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Aziza (Guest) on January 31, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elijah Mutua (Guest) on January 23, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on December 22, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on November 28, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on November 1, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on October 7, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on September 1, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Rose Kiwanga (Guest) on August 31, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Jane Muthui (Guest) on August 23, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Diana Mumbua (Guest) on August 19, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on July 24, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on July 20, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on June 8, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on May 19, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Latifa (Guest) on May 17, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rashid (Guest) on February 6, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on January 28, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on January 25, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 7, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on December 29, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Rahma (Guest) on October 29, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ann Wambui (Guest) on October 22, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More