Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, β€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo β€œNakupenda Mpenzi”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno β€œNAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 – β€œSamahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – β€œSamahani, wrong number”!
Simu ya 3 – β€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 4 – β€œMh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 5 – β€œNikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 6 – β€œβ€¦β€¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 7 – β€œMe too”!
Simu ya 6 – β€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mercy Atieno (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Brian Karanja (Guest) on June 20, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on June 6, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 2, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on April 1, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Aziza (Guest) on March 13, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on February 18, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on February 3, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Victor Sokoine (Guest) on January 24, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on January 14, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Mwangi (Guest) on January 11, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nancy Komba (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 24, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on December 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 28, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Diana Mumbua (Guest) on November 23, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mashaka (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nduta (Guest) on October 21, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on October 16, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on October 12, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Ali (Guest) on September 26, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Faith Kariuki (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 14, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on August 28, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on August 24, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Sokoine (Guest) on July 20, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shabani (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joseph Kawawa (Guest) on June 9, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Joseph Mallya (Guest) on May 24, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rabia (Guest) on May 3, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Miriam Mchome (Guest) on April 16, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Yusra (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Esther Nyambura (Guest) on April 7, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Alice Mwikali (Guest) on March 14, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on March 11, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on March 8, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Mallya (Guest) on March 5, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Edith Cherotich (Guest) on February 13, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Mwalimu (Guest) on January 29, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

David Musyoka (Guest) on January 21, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joyce Mussa (Guest) on January 4, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on December 28, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on December 27, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on December 25, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jamila (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Mallya (Guest) on November 11, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sofia (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Mgeni (Guest) on October 5, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Maimuna (Guest) on September 29, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on September 20, 2022

😊🀣πŸ”₯

Samuel Were (Guest) on September 13, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on August 30, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on August 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on August 17, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on August 13, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on August 4, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on July 25, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Related Posts

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About