Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa babaake, mwisho babaake akamwambia basi ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu! Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha kikao cha ndugu wote pande 2, Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu alipoolewa ndo kijana wetu atapona! Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote! Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana, mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia wanaume peke yao! Mzee akamwambia mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo? Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani umejionea hali halisi. Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako! Kijana akazimia! SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 11, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 10, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Nora Kidata (Guest) on July 7, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on June 30, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Mushi (Guest) on June 20, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Wilson Ombati (Guest) on June 11, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwajuma (Guest) on June 11, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Catherine Mkumbo (Guest) on May 23, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Adventina chriss (Guest) on May 11, 2024

Marriage are not to be easy

Mwanais (Guest) on May 10, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on May 9, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on April 20, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Tenga (Guest) on February 12, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Samson Tibaijuka (Guest) on January 16, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Umi (Guest) on January 13, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Shukuru (Guest) on December 27, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Mwangi (Guest) on December 24, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Janet Wambura (Guest) on December 24, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on December 17, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on December 16, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Josephine Nduta (Guest) on November 24, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on November 20, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on November 16, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on November 14, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lydia Wanyama (Guest) on October 5, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on October 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on September 2, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 2, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Rubea (Guest) on August 27, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Moses Kipkemboi (Guest) on August 12, 2023

🀣πŸ”₯😊

Lydia Mutheu (Guest) on August 2, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Neema (Guest) on June 23, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on June 2, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Charles Mboje (Guest) on May 26, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Wilson Ombati (Guest) on May 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 27, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Frank Sokoine (Guest) on February 17, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on January 30, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on January 27, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ann Wambui (Guest) on January 17, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Susan Wangari (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Josephine Nekesa (Guest) on January 8, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanais (Guest) on December 10, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rahma (Guest) on November 20, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Martin Otieno (Guest) on October 18, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on October 9, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 30, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Njeri (Guest) on September 19, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on September 13, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jamal (Guest) on August 24, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nahida (Guest) on August 10, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Francis Mrope (Guest) on August 4, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on August 4, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Related Posts

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About