Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatuonani mzee, mishe vipi, mnatunyima nini? Juzi nimekuona kwa mbaaali… mzee shavu dodo, full kipupwe! Sie tupo bwana, shida tu, afu misiba mingi tu, wife nae kajifungua ghafla. Sasa, kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo, wanasema itatoka next week, hapa nimekwama kweli. Naweza pata 'Laki Moja' ya karibu hapo nitarudisha mwisho wa mwezi…?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Kidata (Guest) on July 22, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on July 11, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 1, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Miriam Mchome (Guest) on June 21, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on June 10, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Isaac Kiptoo (Guest) on June 6, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on April 28, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on April 8, 2024

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Malima (Guest) on March 17, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on March 2, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Zulekha (Guest) on January 29, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on January 26, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Ruth Kibona (Guest) on January 24, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Esther Nyambura (Guest) on January 23, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Mbise (Guest) on January 20, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Anna Mahiga (Guest) on January 10, 2024

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Muslima (Guest) on December 28, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on December 2, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Betty Cheruiyot (Guest) on October 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Kheri (Guest) on October 4, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Benjamin Kibicho (Guest) on October 3, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Ann Awino (Guest) on September 17, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on September 3, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on August 25, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mary Mrope (Guest) on July 28, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on July 7, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on June 19, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on June 7, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Safiya (Guest) on May 26, 2023

Asante Ackyshine

Charles Mrope (Guest) on May 7, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Bahati (Guest) on March 12, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mary Sokoine (Guest) on February 11, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Khatib (Guest) on January 15, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on December 28, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Martin Otieno (Guest) on December 23, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on December 17, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Daniel Obura (Guest) on December 7, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on December 6, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Majaliwa (Guest) on November 17, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Charles Mboje (Guest) on November 12, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on November 8, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mariam Hassan (Guest) on October 31, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Daniel Obura (Guest) on October 18, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Moses Kipkemboi (Guest) on October 10, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

James Malima (Guest) on October 8, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

James Mduma (Guest) on October 6, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on September 26, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Makame (Guest) on September 22, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 1, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on July 31, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on July 24, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on June 28, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Jamal (Guest) on May 27, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on April 19, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Margaret Mahiga (Guest) on April 17, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mrope (Guest) on March 6, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Robert Okello (Guest) on February 28, 2022

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on February 20, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About