Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Richard Mulwa (Guest) on March 6, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rukia (Guest) on February 17, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 17, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Shani (Guest) on February 4, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alice Jebet (Guest) on January 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on January 18, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Furaha (Guest) on January 17, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Anna Mchome (Guest) on January 11, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mchawi (Guest) on January 7, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Jane Malecela (Guest) on December 26, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on December 20, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

David Kawawa (Guest) on December 20, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on November 22, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on November 17, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on October 30, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on October 21, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Wande (Guest) on October 10, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Richard Mulwa (Guest) on September 1, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on August 18, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on July 5, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on June 6, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on June 5, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on April 16, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Patrick Mutua (Guest) on April 10, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on February 14, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on February 12, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Kiwanga (Guest) on January 13, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Moses Mwita (Guest) on January 9, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Malisa (Guest) on December 27, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on December 16, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on December 14, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Baridi (Guest) on December 10, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Andrew Odhiambo (Guest) on November 23, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

James Malima (Guest) on November 4, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Sharifa (Guest) on November 2, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Bakari (Guest) on October 28, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Paul Ndomba (Guest) on September 26, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on September 23, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 15, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Edith Cherotich (Guest) on September 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on August 31, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alex Nyamweya (Guest) on August 19, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Abubakari (Guest) on May 30, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rahim (Guest) on May 29, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Chris Okello (Guest) on April 12, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on March 2, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on February 18, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Khatib (Guest) on February 18, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Grace Njuguna (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Anna Mchome (Guest) on January 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Wande (Guest) on December 3, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Patrick Kidata (Guest) on November 27, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Farida (Guest) on November 10, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on October 27, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on October 20, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on October 11, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Victor Kimario (Guest) on September 22, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles