Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe nami leo hii,
Kuniangaza na kunilinda,
Kunitawala na kuniongoza.
Amina.
SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
