Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Malkia wa Mbingu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, Aleluya. Utuombee kwa Mungu, Aleluya. Furahi shangilia, ee Bikira Maria, Alaluya. Kwani hakika Bwana amefufuka Aleluya. Tuombe. Ee Mungu, uliyependa kuifurahisha dunia kwa kufufuka kwake Bwana wetu Yesu Kristu, Mwanao: fanyiza, twakuomba, kwa ajili ya Bikira Maria, tupate nasi furaha za uzima wa milele. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Ochieng (Guest) on June 28, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Victor Kamau (Guest) on May 16, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Grace Njuguna (Guest) on May 10, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Samson Tibaijuka (Guest) on January 28, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Nora Kidata (Guest) on October 28, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Agnes Sumaye (Guest) on September 2, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

David Kawawa (Guest) on May 28, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Catherine Naliaka (Guest) on April 29, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Henry Mollel (Guest) on April 15, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Benjamin Masanja (Guest) on April 8, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Betty Akinyi (Guest) on March 25, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Alice Mwikali (Guest) on March 11, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

David Chacha (Guest) on February 6, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Ruth Mtangi (Guest) on December 19, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Elizabeth Mrope (Guest) on December 11, 2015

Dumu katika Bwana.

Wilson Ombati (Guest) on November 23, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Alice Mwikali (Guest) on October 24, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Emily Chepngeno (Guest) on September 16, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Susan Wangari (Guest) on September 10, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Monica Lissu (Guest) on August 27, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lydia Mutheu (Guest) on August 24, 2015

Mungu akubariki!

Margaret Mahiga (Guest) on July 30, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

David Sokoine (Guest) on April 15, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Related Posts

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About