Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Mkulima: Mama yako?

Mtoto: Nae kaenda mjini na baba.

Mkulima: Kaka yako Howard yupo?

Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa.
Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu.

Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Kidata (Guest) on March 1, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Kahina (Guest) on February 4, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Edward Chepkoech (Guest) on January 19, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Paul Ndomba (Guest) on January 15, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Komba (Guest) on December 31, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Josephine Nekesa (Guest) on December 28, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Monica Nyalandu (Guest) on December 27, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on December 24, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mariam Kawawa (Guest) on November 15, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Alice Jebet (Guest) on November 14, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on October 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on September 28, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on September 6, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on August 30, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Bakari (Guest) on August 25, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

John Lissu (Guest) on August 13, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Charles Wafula (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Andrew Mahiga (Guest) on July 26, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on July 22, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 4, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Mtangi (Guest) on July 2, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwafirika (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Irene Akoth (Guest) on June 2, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on April 23, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on March 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Latifa (Guest) on March 4, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ruth Wanjiku (Guest) on February 28, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on February 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on January 9, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Lowassa (Guest) on December 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Hellen Nduta (Guest) on November 28, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on November 17, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on November 3, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 28, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

David Sokoine (Guest) on October 20, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mary Kendi (Guest) on October 16, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 10, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 18, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lucy Mushi (Guest) on July 28, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Salma (Guest) on July 24, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Agnes Sumaye (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Mercy Atieno (Guest) on May 2, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on April 26, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on April 17, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Nassor (Guest) on April 3, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Zuhura (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Malela (Guest) on February 29, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on February 22, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Kibwana (Guest) on February 10, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on January 29, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on January 21, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on January 16, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on January 11, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Carol Nyakio (Guest) on December 29, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 27, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on December 1, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on November 10, 2019

🀣πŸ”₯😊

Violet Mumo (Guest) on October 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles