Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja; MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili? MFAMASIA: Kama chumvichumvi MZEE: Hakuna sukari MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mariam Kawawa (Guest) on September 29, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Salima (Guest) on September 20, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Esther Nyambura (Guest) on September 8, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on August 23, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on August 22, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Sumaye (Guest) on August 20, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on July 25, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Amina (Guest) on July 10, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

John Malisa (Guest) on June 30, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Wilson Ombati (Guest) on June 24, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on June 23, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Violet Mumo (Guest) on June 14, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on May 18, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 18, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on May 17, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on May 15, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Martin Otieno (Guest) on April 27, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Majid (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 3, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Shabani (Guest) on March 15, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Catherine Mkumbo (Guest) on March 3, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sarafina (Guest) on February 23, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Chacha (Guest) on February 22, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Andrew Mchome (Guest) on February 19, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mary Sokoine (Guest) on January 28, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Mollel (Guest) on January 26, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on January 24, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

James Kimani (Guest) on November 19, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 21, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on September 18, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on September 10, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on August 22, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Khadija (Guest) on August 12, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 2, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on May 10, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on May 5, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on May 3, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Alice Mrema (Guest) on April 27, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 22, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Abubakar (Guest) on April 18, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Athumani (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Wilson Ombati (Guest) on April 7, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mwakisu (Guest) on April 5, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Zainab (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mutheu (Guest) on March 22, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anna Sumari (Guest) on February 24, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on February 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on January 25, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on January 6, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on December 24, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 24, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Mallya (Guest) on November 29, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nuru (Guest) on November 26, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Francis Mrope (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Kimario (Guest) on November 13, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Irene Makena (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Richard Mulwa (Guest) on November 6, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on November 4, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About