Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza. Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe. Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza, 'Nyie mnafanya nini hapa?' Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 28, 2022

😊🀣πŸ”₯

Jaffar (Guest) on September 21, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Hellen Nduta (Guest) on September 18, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Njeru (Guest) on August 28, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on August 27, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on August 27, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Richard Mulwa (Guest) on August 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on August 15, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 2, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 12, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Nyambura (Guest) on June 25, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ndoto (Guest) on June 21, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Akumu (Guest) on May 3, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Rubea (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Tabitha Okumu (Guest) on March 9, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on January 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on November 24, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on October 28, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nassar (Guest) on October 22, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Bernard Oduor (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Agnes Njeri (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on September 16, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Maulid (Guest) on August 8, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 7, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on August 2, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on July 5, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Nyalandu (Guest) on June 28, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Hawa (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Fatuma (Guest) on April 24, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Faith Kariuki (Guest) on April 13, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Diana Mallya (Guest) on March 31, 2021

🀣πŸ”₯😊

Sharon Kibiru (Guest) on March 25, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on March 18, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Henry Sokoine (Guest) on March 13, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanaisha (Guest) on March 11, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Omar (Guest) on March 5, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Rehema (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Mchuma (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Patrick Kidata (Guest) on February 4, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Minja (Guest) on January 31, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on January 17, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Esther Nyambura (Guest) on January 15, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Nkya (Guest) on January 2, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Kimaro (Guest) on December 17, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on December 11, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on December 1, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on October 31, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on October 31, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on October 18, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 11, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on October 10, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Zakia (Guest) on October 9, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kahina (Guest) on October 4, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mahiga (Guest) on August 25, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Hashim (Guest) on July 15, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwalimu (Guest) on July 6, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Samson Tibaijuka (Guest) on July 6, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on June 20, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Related Posts

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About