Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jane Malecela (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mwanakhamis (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Victor Sokoine (Guest) on December 13, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on December 2, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Kiwanga (Guest) on November 28, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on November 22, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Jafari (Guest) on October 9, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Issa (Guest) on October 6, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Mushi (Guest) on September 27, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on September 15, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on August 20, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

George Tenga (Guest) on July 9, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on July 6, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Alex Nyamweya (Guest) on June 17, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on May 12, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Makame (Guest) on May 11, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Henry Sokoine (Guest) on April 21, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Alice Mrema (Guest) on April 14, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 9, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on April 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Mbithe (Guest) on April 3, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Esther Nyambura (Guest) on March 29, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on March 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on March 17, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Mushi (Guest) on March 17, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on March 4, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on February 21, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Rashid (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mgeni (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Victor Mwalimu (Guest) on November 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on October 28, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Kidata (Guest) on October 25, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Farida (Guest) on October 3, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on October 1, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on September 26, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Frank Sokoine (Guest) on August 29, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mariam (Guest) on August 25, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Athumani (Guest) on August 22, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Wambura (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on July 27, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

John Malisa (Guest) on July 25, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

David Ochieng (Guest) on July 20, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on July 11, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maida (Guest) on July 11, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Francis Mtangi (Guest) on June 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edith Cherotich (Guest) on May 30, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on April 19, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on April 5, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Kabura (Guest) on April 4, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Ndoto (Guest) on February 27, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rose Kiwanga (Guest) on January 26, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nyamweya (Guest) on January 20, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 12, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on January 9, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Daniel Obura (Guest) on November 21, 2019

😊🀣πŸ”₯

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 21, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on October 19, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mrema (Guest) on September 4, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Related Posts

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About