Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo zako na…….. Kabla hajamalizia sentensi simu ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake. Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku jamaa anasikia "Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni 20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio. Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema umenichoka nikusanye nguo zangu halafu iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Mutua (Guest) on October 6, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Juma (Guest) on September 24, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joyce Mussa (Guest) on September 13, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

James Kimani (Guest) on September 6, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Isaac Kiptoo (Guest) on August 9, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 7, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Safiya (Guest) on June 23, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Husna (Guest) on June 17, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Paul Ndomba (Guest) on April 2, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Faith Kariuki (Guest) on March 18, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on March 7, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Jafari (Guest) on March 6, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Maimuna (Guest) on February 10, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on January 23, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Makena (Guest) on January 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on January 8, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Warda (Guest) on January 4, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on December 20, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on November 4, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on October 22, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lucy Mahiga (Guest) on September 16, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Ndungu (Guest) on August 16, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Margaret Anyango (Guest) on August 15, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Bahati (Guest) on August 8, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Irene Akoth (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Daniel Obura (Guest) on July 20, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sultan (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on June 24, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nasra (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alex Nyamweya (Guest) on May 21, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Njeri (Guest) on April 22, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Ruth Kibona (Guest) on March 22, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mwanajuma (Guest) on March 21, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Brian Karanja (Guest) on March 20, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mchawi (Guest) on March 17, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Hassan (Guest) on March 10, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Makame (Guest) on January 31, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Benjamin Masanja (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joyce Mussa (Guest) on January 20, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 29, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on November 20, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anna Mchome (Guest) on October 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on September 12, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on August 15, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Khadija (Guest) on July 29, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Elizabeth Mtei (Guest) on July 1, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Robert Ndunguru (Guest) on June 28, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Shabani (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Thomas Mtaki (Guest) on June 17, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Maneno (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on April 1, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on December 26, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on December 23, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on December 17, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½ Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More