Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.
Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto
wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika
akamfuta mamake)
MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana na
manyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi
kwa baba)
MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwa
manyani mwanzo?Au wanidanganya?
BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo
wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo waoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Mtei (Guest) on February 17, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on February 15, 2020

😊🀣πŸ”₯

Janet Sumaye (Guest) on January 27, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

David Nyerere (Guest) on January 4, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on November 22, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on November 16, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Nancy Kawawa (Guest) on November 6, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on October 16, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on October 9, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sumaya (Guest) on August 28, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nchi (Guest) on August 27, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on June 27, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Mligo (Guest) on June 26, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

James Mduma (Guest) on June 26, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Margaret Anyango (Guest) on June 23, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Hellen Nduta (Guest) on June 22, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Otieno (Guest) on June 18, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on May 30, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

George Wanjala (Guest) on May 29, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mwanahawa (Guest) on May 10, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Michael Mboya (Guest) on April 30, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 18, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Mrope (Guest) on April 9, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Abdillah (Guest) on March 25, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mwagonda (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Grace Njuguna (Guest) on March 17, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on March 10, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Kibwana (Guest) on March 8, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on March 8, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on February 2, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on January 29, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Nora Kidata (Guest) on January 12, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on November 20, 2018

Asante Ackyshine

James Malima (Guest) on November 13, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Christopher Oloo (Guest) on September 30, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Paul Kamau (Guest) on September 23, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on August 16, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Njuguna (Guest) on July 26, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Rubea (Guest) on June 14, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on June 4, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Victor Malima (Guest) on June 1, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

John Mushi (Guest) on May 19, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Tenga (Guest) on May 11, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 3, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mohamed (Guest) on April 14, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Janet Mbithe (Guest) on April 11, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Hashim (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Margaret Mahiga (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on February 24, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on February 14, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Charles Wafula (Guest) on January 30, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mchawi (Guest) on January 22, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Kamau (Guest) on December 24, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mgeni (Guest) on December 13, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Agnes Lowassa (Guest) on December 5, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nashon (Guest) on November 18, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Catherine Naliaka (Guest) on November 1, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on October 14, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About