Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yenyewe tabu.. kwahio picha haikufunguka na kwa vile niliona itachelewa kufunguka na ataona sikumjibu basi nami..

Nikampelekea msg nikamuandikia umependeza saana bosi mashaallah…!!
sasa baada tu ya kumfika msg.. na huku picha ikafunguka kumbe picha ya Sokwe..!!
Basi Kaniambia kesho niende ofsini kwake kuna barua yangu..
Nahisi hyo barua ina pesa, hapa cjalala, nmekosa usingizi kabisa,nawaza ninunulie nn hyo pesa.Na kesho asubuhi sa 12 asubuhi atanikuta ofisini kwake naisubiri barua, sipendagi ujinga mimi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Stephen Kangethe (Guest) on April 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ramadhan (Guest) on April 5, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on March 26, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Daniel Obura (Guest) on February 16, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Chris Okello (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on January 6, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on December 27, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on December 14, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on October 23, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on October 20, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

John Kamande (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Susan Wangari (Guest) on September 24, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Otieno (Guest) on August 12, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on July 26, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on July 25, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edward Chepkoech (Guest) on July 11, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on June 1, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shukuru (Guest) on May 25, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on April 28, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Fikiri (Guest) on April 8, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

George Mallya (Guest) on March 5, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rubea (Guest) on February 25, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Zubeida (Guest) on February 9, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on February 6, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 24, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Mushi (Guest) on December 17, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Diana Mallya (Guest) on December 9, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Abdullah (Guest) on December 7, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 4, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on October 21, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on September 20, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Christopher Oloo (Guest) on September 19, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Lissu (Guest) on August 7, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on August 4, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on July 5, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Bakari (Guest) on June 19, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Kidata (Guest) on June 14, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on June 8, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Paul Ndomba (Guest) on June 5, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Omari (Guest) on April 19, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Rose Mwinuka (Guest) on April 19, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on March 28, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

David Ochieng (Guest) on March 13, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Zawadi (Guest) on February 27, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Peter Otieno (Guest) on February 20, 2018

Asante Ackyshine

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 18, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on February 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on February 5, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on February 2, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Hassan (Guest) on January 16, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Robert Ndunguru (Guest) on December 16, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on December 5, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anthony Kariuki (Guest) on November 26, 2017

😊🀣πŸ”₯

Shani (Guest) on November 23, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alice Mrema (Guest) on November 3, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

David Chacha (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Related Posts

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More