Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7, ATM Card na kikaratasi chenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu kinene hivi…" Mtangazaji akasema:- Akhasante sana John, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama ana kusikiliza akutafute kwa No. Gani!? John: Hapana, mi nilikuwa namshukuru tu maana amenitoa kwenye matatizo na ninapenda kumuombea Dedication wimbo wa Snura "MAJANGA" umfikie popote pale alipo…!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Daniel Obura (Guest) on June 6, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Salum (Guest) on June 2, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Muthoni (Guest) on May 27, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

James Kimani (Guest) on May 5, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Baraka (Guest) on May 2, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Maneno (Guest) on February 23, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mchuma (Guest) on February 18, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Margaret Mahiga (Guest) on February 12, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on February 4, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Shani (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Moses Kipkemboi (Guest) on January 21, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on December 27, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on December 6, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Chris Okello (Guest) on November 7, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam (Guest) on July 25, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Alice Wanjiru (Guest) on July 17, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on July 2, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Paul Kamau (Guest) on June 27, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Wanjala (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Rose Lowassa (Guest) on May 13, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on April 29, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Nancy Komba (Guest) on April 29, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Tabu (Guest) on April 17, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Paul Kamau (Guest) on April 14, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Janet Sumari (Guest) on April 11, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on April 7, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on March 28, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on March 2, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on February 19, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Emily Chepngeno (Guest) on February 19, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on February 16, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Janet Sumaye (Guest) on January 20, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on January 12, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Farida (Guest) on January 3, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Sharon Kibiru (Guest) on December 29, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on December 27, 2017

🀣πŸ”₯😊

Salima (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Frank Sokoine (Guest) on December 13, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on December 1, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

David Nyerere (Guest) on November 26, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on November 21, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Samuel Omondi (Guest) on November 16, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on November 2, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on October 21, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Wambura (Guest) on October 19, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on October 15, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Grace Majaliwa (Guest) on October 14, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on October 9, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Ann Awino (Guest) on October 4, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on September 22, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on August 29, 2017

Asante Ackyshine

Bahati (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lydia Wanyama (Guest) on August 6, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on August 3, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 28, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on July 2, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Omar (Guest) on June 7, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shabani (Guest) on May 24, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About