Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa babaake, mwisho babaake akamwambia basi ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu! Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha kikao cha ndugu wote pande 2, Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu alipoolewa ndo kijana wetu atapona! Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote! Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana, mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia wanaume peke yao! Mzee akamwambia mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo? Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani umejionea hali halisi. Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako! Kijana akazimia! SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Mbithe (Guest) on May 18, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Wilson Ombati (Guest) on March 13, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on February 20, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mariam Kawawa (Guest) on January 4, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on December 17, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Martin Otieno (Guest) on December 5, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on November 7, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on October 20, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on September 6, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Omar (Guest) on August 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

John Mushi (Guest) on August 13, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on July 27, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Peter Mwambui (Guest) on July 11, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Rose Lowassa (Guest) on June 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 22, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Fikiri (Guest) on June 18, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Mwalimu (Guest) on June 10, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on April 16, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mary Kendi (Guest) on January 27, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Kevin Maina (Guest) on January 17, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 10, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on January 5, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on December 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on November 18, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Lissu (Guest) on November 12, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jabir (Guest) on September 25, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ruth Wanjiku (Guest) on September 24, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Janet Mbithe (Guest) on September 13, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Emily Chepngeno (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Grace Mligo (Guest) on August 6, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on August 5, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nancy Akumu (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Janet Wambura (Guest) on July 6, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Halimah (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nyota (Guest) on May 18, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 5, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Patrick Akech (Guest) on April 27, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on April 20, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Maida (Guest) on April 20, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on April 17, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on April 13, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on March 15, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on February 13, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mwanakhamis (Guest) on February 7, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anthony Kariuki (Guest) on January 19, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 8, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Njuguna (Guest) on January 2, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Yahya (Guest) on December 31, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Patrick Kidata (Guest) on November 28, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on November 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on November 5, 2017

Asante Ackyshine

Lydia Mahiga (Guest) on November 5, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on October 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 25, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 10, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Binti (Guest) on September 1, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jaffar (Guest) on August 31, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Agnes Lowassa (Guest) on August 30, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Related Posts

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

πŸ“– Explore More Articles