Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo… Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake. chupa ya pili 🍺🍺 kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi…. Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua. Bia ya tatu 🍺🍺🍺 huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana…. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza….. Bia ya nne 🍺🍺🍺🍺 huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia….. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki. Bia ya tano 🍺🍺🍺🍺🍺 ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu……na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; β€˜Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au β€˜ Mume wangu sijui yukoje hanijali’ Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole. Kuanzia bia ya sita 🍺🍺🍺🍺🍺🍺 na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana. ……. …Kuna watu husema ukilewa ndipo unakuwa mkweli, hivyo basi wakati huu hata bosi wako akitokeza unamueleza ukweli jinsi alivyo fala na hajui kuendesha kampuni. Au unasema ukweli jinsi unavyompenda mke wa jirani yako ambaye mmekaa mnakunywa naye. Kimsingi uwezekano wa kutapika pia upo karibu na kama umekaa na mchumba wako huu ni muda ambao pia uchumba unaweza kuvunjika…….
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rahim (Guest) on December 6, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on October 30, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

George Tenga (Guest) on October 18, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

George Tenga (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on September 19, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on September 16, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on September 15, 2019

😊🀣πŸ”₯

David Sokoine (Guest) on September 5, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on August 28, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Anna Kibwana (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Mduma (Guest) on June 13, 2019

🀣πŸ”₯😊

Francis Njeru (Guest) on May 28, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Juma (Guest) on May 16, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 4, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on April 25, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on April 20, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on March 28, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on March 24, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raphael Okoth (Guest) on March 12, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on March 5, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Sharon Kibiru (Guest) on January 18, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Amukowa (Guest) on January 10, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Diana Mumbua (Guest) on January 7, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

James Mduma (Guest) on January 4, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Mahiga (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on December 16, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Agnes Sumaye (Guest) on December 12, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Charles Mboje (Guest) on November 18, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Isaac Kiptoo (Guest) on November 13, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on August 10, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

James Malima (Guest) on July 31, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on July 30, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Brian Karanja (Guest) on July 29, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on July 19, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on July 16, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 14, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on July 6, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Kenneth Murithi (Guest) on June 9, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on May 16, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rahma (Guest) on May 11, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on April 24, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Catherine Naliaka (Guest) on April 18, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Shabani (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

George Ndungu (Guest) on March 28, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on March 21, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 24, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on February 8, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on January 1, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on November 19, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jamal (Guest) on October 28, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Anna Sumari (Guest) on October 7, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Peter Mbise (Guest) on September 12, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Saidi (Guest) on September 6, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Faiza (Guest) on August 17, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on August 16, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on August 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mashaka (Guest) on July 10, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Shabani (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?