Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Thomas Mtaki (Guest) on October 29, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 13, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Hekima (Guest) on September 11, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jane Muthui (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on August 25, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 3, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on July 12, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 27, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Mallya (Guest) on May 8, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rubea (Guest) on April 25, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

David Ochieng (Guest) on April 24, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on April 8, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on March 18, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on March 14, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Njeri (Guest) on February 26, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on February 18, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on January 20, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on January 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on November 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on November 10, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on October 9, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on October 5, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Issa (Guest) on September 30, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joyce Mussa (Guest) on September 15, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 10, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on September 5, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Njoroge (Guest) on August 29, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on August 22, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on August 7, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Masika (Guest) on August 3, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

George Tenga (Guest) on July 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on July 17, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Agnes Njeri (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on June 27, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Rukia (Guest) on May 23, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on April 26, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on March 20, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Baraka (Guest) on March 5, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Njeri (Guest) on February 15, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2018

🀣πŸ”₯😊

Nancy Kawawa (Guest) on January 25, 2018

Asante Ackyshine

Andrew Mchome (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Francis Mtangi (Guest) on November 17, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on November 11, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on November 1, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Charles Mchome (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Andrew Mahiga (Guest) on October 7, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Abdillah (Guest) on September 16, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

George Ndungu (Guest) on September 5, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on August 29, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Violet Mumo (Guest) on August 27, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 19, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on August 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Josephine (Guest) on August 1, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Kawawa (Guest) on June 12, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Ramadhan (Guest) on June 8, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Kikwete (Guest) on May 28, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mazrui (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Peter Mbise (Guest) on April 17, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
πŸ“– Explore More Articles