Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Date: December 25, 2020
Author: SW - Melkisedeck Shine
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo.
Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali",
Wakapiga magotiβ¦:
MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake.
MUME: Emenβ¦
MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko.
MUME: Emenβ¦
MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe.
MUME: Kimyaβ¦
MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana.
MUME: β¦β¦.!!
MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali.
MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe.
Chezea mawaifu walokole wewe!
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja...
Read More
Alifanya hivi;
Siku ya kwanza
MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye...
Read More
Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki...
Read More
HABARI MPASUKO..
jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N...
Read More
Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong...
Read More
Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,...
Read More
Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali
na yeye mwite MAF...
Read More
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k...
Read More
Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yakeβ¦.
Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal...
Read More
Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel...
Read More
Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau...
Read More
LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TUβ¦β¦β¦
...
Read More
Mercy Atieno (Guest) on March 30, 2017
π Hii ni kali sana!
Tabitha Okumu (Guest) on March 9, 2017
π Kali sana!
Grace Mushi (Guest) on February 18, 2017
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Patrick Akech (Guest) on February 13, 2017
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Jane Muthoni (Guest) on February 7, 2017
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Margaret Mahiga (Guest) on January 10, 2017
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Mary Sokoine (Guest) on January 8, 2017
ππ€£π₯
Mwachumu (Guest) on December 30, 2016
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Nassar (Guest) on December 23, 2016
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Amina (Guest) on December 7, 2016
π Hii imenigonga kweli!
Alice Mwikali (Guest) on December 7, 2016
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Isaac Kiptoo (Guest) on October 21, 2016
π€£π₯π
Anthony Kariuki (Guest) on October 15, 2016
Nimeipenda hii joke! ππ
Jacob Kiplangat (Guest) on October 10, 2016
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Hawa (Guest) on October 2, 2016
π€£ Hii imewaka moto!
Sekela (Guest) on September 14, 2016
π Nitaiiba hii bila shaka!
Grace Njuguna (Guest) on August 16, 2016
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Stephen Amollo (Guest) on July 26, 2016
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Joseph Njoroge (Guest) on July 25, 2016
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Janet Mwikali (Guest) on July 25, 2016
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Athumani (Guest) on July 20, 2016
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Grace Mushi (Guest) on July 18, 2016
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Issack (Guest) on July 11, 2016
π Kali sana!
Nora Kidata (Guest) on June 22, 2016
ππ
Aziza (Guest) on June 17, 2016
π Dhahabu ya vichekesho!
Raha (Guest) on May 20, 2016
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Sharifa (Guest) on May 11, 2016
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Tabitha Okumu (Guest) on May 3, 2016
π πππ
George Ndungu (Guest) on April 23, 2016
π€£πππ
Alice Wanjiru (Guest) on April 20, 2016
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Asha (Guest) on April 18, 2016
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Michael Mboya (Guest) on April 14, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Janet Mbithe (Guest) on April 2, 2016
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Elizabeth Mrope (Guest) on January 31, 2016
Hii imenichekesha sana! ππ
Jackson Makori (Guest) on January 30, 2016
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Kenneth Murithi (Guest) on January 12, 2016
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Andrew Mahiga (Guest) on January 4, 2016
π Lazima nihifadhi hii!
Brian Karanja (Guest) on December 22, 2015
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Patrick Kidata (Guest) on November 14, 2015
π Nilihitaji hii!
Yahya (Guest) on October 20, 2015
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Michael Mboya (Guest) on September 26, 2015
π Hii ni ya kuhifadhi!
Francis Njeru (Guest) on September 22, 2015
π€£ππ
Rose Amukowa (Guest) on September 13, 2015
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Hekima (Guest) on September 12, 2015
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Stephen Malecela (Guest) on August 10, 2015
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Stephen Mushi (Guest) on August 1, 2015
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Frank Sokoine (Guest) on July 12, 2015
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Frank Sokoine (Guest) on June 14, 2015
π€£ Sikutarajia hiyo!
Thomas Mwakalindile (Guest) on May 26, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Warda (Guest) on May 21, 2015
π Ninaihifadhi hii!
Vincent Mwangangi (Guest) on May 2, 2015
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Tabitha Okumu (Guest) on April 30, 2015
Umesema kweli! ππ
Mazrui (Guest) on April 25, 2015
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Agnes Sumaye (Guest) on April 21, 2015
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Nassor (Guest) on April 10, 2015
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Mary Kendi (Guest) on April 1, 2015
π Siwezi kuacha kucheka na hii!