Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.

MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.

MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!

MUMEΒ kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwiiiiiii!

MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.

MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.

MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka usiku huu na khanga moja.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mercy Atieno (Guest) on August 24, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Lydia Mahiga (Guest) on July 4, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on June 12, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mwachumu (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Hamida (Guest) on June 2, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Furaha (Guest) on May 20, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sarah Mbise (Guest) on May 2, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on April 29, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Sokoine (Guest) on April 10, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on April 6, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

George Ndungu (Guest) on March 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on February 4, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Benjamin Kibicho (Guest) on January 15, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 22, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anthony Kariuki (Guest) on November 12, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Amir (Guest) on November 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Dorothy Nkya (Guest) on October 30, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Kamau (Guest) on October 14, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on August 30, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on August 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on August 14, 2016

😊🀣πŸ”₯

Joy Wacera (Guest) on August 4, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mchuma (Guest) on July 29, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Aziza (Guest) on July 17, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Abdullah (Guest) on June 12, 2016

Asante Ackyshine

Joyce Nkya (Guest) on June 9, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Stephen Kangethe (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on June 3, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Anna Kibwana (Guest) on May 25, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Martin Otieno (Guest) on May 24, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on May 3, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on April 19, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Mbise (Guest) on March 31, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on March 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Daniel Obura (Guest) on March 7, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 2, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Wambura (Guest) on January 30, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwinyi (Guest) on January 7, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

John Lissu (Guest) on December 28, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Josephine Nekesa (Guest) on December 21, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on December 5, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Fatuma (Guest) on September 28, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Stephen Amollo (Guest) on September 11, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on August 24, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Esther Cheruiyot (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on July 8, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

James Mduma (Guest) on July 3, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Robert Okello (Guest) on May 9, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on April 27, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on April 14, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles