Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakubana na hukuwa unajua choo kilipo, ukatoka nje na kujisaidia kwenye majani kumbe ni mboga asubuhi ukasikia mama mkwe anasema kuna mjinga kajisaidia kwenye mboga na kaangusha pochi yake hapohapo haa! Vile unajisachi pochi hamna na kulikuwa na passport,vitambulisho, kadi ya benki, pesa zaidi ya laki 2 na nusu, funguo za nyumba yako, `
πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’

Walahi haya ndo matatizoπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Philip Nyaga (Guest) on September 16, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on September 9, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Shabani (Guest) on August 7, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on July 20, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on July 16, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Hekima (Guest) on July 5, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mary Sokoine (Guest) on June 30, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

John Lissu (Guest) on June 30, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on June 25, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaidi (Guest) on June 11, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Maulid (Guest) on May 24, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Chum (Guest) on May 5, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Kendi (Guest) on April 30, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on April 8, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Fredrick Mutiso (Guest) on April 2, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Catherine Naliaka (Guest) on April 2, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

James Malima (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on January 8, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on January 8, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on December 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on December 1, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joyce Nkya (Guest) on November 5, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Francis Mrope (Guest) on October 17, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Anna Sumari (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on August 29, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mwachumu (Guest) on June 21, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on June 14, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on June 11, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on May 10, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on May 6, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Francis Mrope (Guest) on April 24, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Grace Mushi (Guest) on March 14, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mohamed (Guest) on March 7, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Jamila (Guest) on January 19, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

James Mduma (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sarafina (Guest) on January 9, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Maneno (Guest) on January 7, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Charles Mrope (Guest) on December 23, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Chum (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Abubakar (Guest) on November 19, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Abubakari (Guest) on November 16, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on November 14, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nora Kidata (Guest) on October 10, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on October 7, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on September 21, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 15, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

George Wanjala (Guest) on August 26, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mwambui (Guest) on August 19, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on July 9, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jane Muthui (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

George Mallya (Guest) on May 7, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on April 14, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Related Posts

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles