Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Fadhili (Guest) on September 26, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Kimario (Guest) on September 14, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on August 25, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Grace Njuguna (Guest) on August 22, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Betty Kimaro (Guest) on August 19, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Fikiri (Guest) on August 18, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Njuguna (Guest) on August 6, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on August 4, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mary Njeri (Guest) on July 31, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on June 19, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Shamsa (Guest) on June 17, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 28, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Hamida (Guest) on March 23, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Chris Okello (Guest) on March 6, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

John Kamande (Guest) on February 13, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on November 29, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nyota (Guest) on September 24, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwanahawa (Guest) on September 20, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Irene Akoth (Guest) on September 15, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on September 5, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Abdillah (Guest) on August 6, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Husna (Guest) on August 6, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Shamsa (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rose Mwinuka (Guest) on July 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sumaya (Guest) on July 7, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Peter Mugendi (Guest) on June 16, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Kahina (Guest) on May 25, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nassar (Guest) on May 23, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

John Lissu (Guest) on May 8, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on April 28, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Farida (Guest) on April 9, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mariam Kawawa (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mwambui (Guest) on March 7, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 4, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ruth Kibona (Guest) on February 12, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on January 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on January 5, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 1, 2016

Asante Ackyshine

Nora Kidata (Guest) on December 17, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on November 29, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on November 5, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Hassan (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ann Awino (Guest) on August 9, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on July 25, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rabia (Guest) on July 10, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Njuguna (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Faith Kariuki (Guest) on June 24, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Bernard Oduor (Guest) on June 23, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Josephine Nekesa (Guest) on June 14, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Chris Okello (Guest) on June 13, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 8, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Tabitha Okumu (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Victor Mwalimu (Guest) on April 20, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Mahiga (Guest) on April 9, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About