Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mwajuma (Guest) on July 16, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jane Muthoni (Guest) on May 16, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Stephen Amollo (Guest) on May 11, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Kenneth Murithi (Guest) on May 3, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Shabani (Guest) on March 27, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chum (Guest) on February 19, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Robert Ndunguru (Guest) on February 13, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Ahmed (Guest) on January 28, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mchome (Guest) on January 26, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Fadhili (Guest) on December 23, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Kawawa (Guest) on November 28, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on November 26, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mustafa (Guest) on November 12, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on September 21, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Muslima (Guest) on September 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Yahya (Guest) on September 17, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on September 15, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Mariam Kawawa (Guest) on June 29, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Amina (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Agnes Lowassa (Guest) on June 9, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on May 30, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Maida (Guest) on May 22, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on April 30, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on April 23, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on April 20, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khatib (Guest) on April 18, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on April 7, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on April 7, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on March 15, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Stephen Amollo (Guest) on February 20, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on February 20, 2016

Asante Ackyshine

Diana Mumbua (Guest) on December 31, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mzee (Guest) on December 27, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Wande (Guest) on December 20, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Onyango (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Njeri (Guest) on November 21, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

George Ndungu (Guest) on November 17, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on October 25, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on October 17, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mashaka (Guest) on October 14, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Chacha (Guest) on September 10, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on September 8, 2015

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on August 25, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Bernard Oduor (Guest) on August 17, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on August 13, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on July 29, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Tabitha Okumu (Guest) on July 22, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on July 15, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 6, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on June 25, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on June 20, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Yusra (Guest) on May 28, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Philip Nyaga (Guest) on April 4, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More